Kioo cha Lugha Pub Date : 2023-03-23 DOI:10.4314/kcl.v20i1.7
Elishafati J. Ndumiwe, Tasiana Jasson
{"title":"Matumizi ya kanuni za utambuzi wa mofimu za Nida (1949) katika utambuzi wa mofimu za lugha ya Kiswahili","authors":"Elishafati J. Ndumiwe, Tasiana Jasson","doi":"10.4314/kcl.v20i1.7","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Utambuzi wa mofimu katika lugha tofautitofauti huongozwa na kanuni za kimajumui zilizopendekezwa na Nida (1949). Kanuni hizo zimehakikiwa katika baadhi ya lugha za Afrikasia ambazo ni Kiyoruba, Kigala na Kihausa. Hata hivyo, kuna utofauti kati ya lugha za Afrikasia na lugha za Kibantu. Isitoshe, kanuni hizo haziko bayana katika lugha za Kibantu. Kwa hiyo, makala hii inahakiki matumizi ya kanuni za utambuzi wa mofimu katika kuchambua mofimu za lugha ya Kiswahili. Data ya makala hii imekusanywa kutoka Kamusi ya Kiswahili Sanifu (2013) kwa kutumia mbinu ya upitiaji wa nyaraka. Aidha, uchambuzi wa data umeongozwa na mkabala wa mofimu kama umbo na maana uliopendekezwa na Rastle na Davis (2008). Matokeo ya makala hii yanaonesha kwamba kanuni tano kati ya sita zinafaa katika kuchambua mofimu za lugha ya Kiswahili. Kanuni hizo ni ya kwanza, ya pili, ya nne, ya tano na ya sita. Kanuni ya tatu haitumiki katika kutambua mofimu za lugha ya Kiswahili kwa sababu maumbo yanayoelezwa na kanuni hii hayamo katika lugha ya Kiswahili kutokana na tofauti za kimuundo kati ya lugha moja na nyingine. Aidha, tumependekeza kuwa uundwaji wa kanuni uendane na maumbo ya lugha tofautitofauti kwa sababu ya umajumui wake.","PeriodicalId":208716,"journal":{"name":"Kioo cha Lugha","volume":"2 1","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2023-03-23","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Kioo cha Lugha","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.4314/kcl.v20i1.7","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

摘要

卡努尼对《尼达维亚语》(1949 年)中的 "基奥鲁巴语"(Kiyoruba)和 "基加拉语"(Kigala)以及 "基豪萨语"(Kihausa)有着浓厚的兴趣。卡努尼对基约鲁巴(Kiyoruba)、基加拉(Kigala)和基豪萨(Kihausa)的南非荷兰语有着浓厚的兴趣。卡努尼对基约鲁巴语、基加拉语和基豪萨语有着浓厚的兴趣。因此,我们需要对非洲和加勒比地区的情况有更深入的了解。此外,卡穆西的研究数据还显示,他对非洲和吉班图语的了解还不够深入。Kamusi's Kiswahili Sanifu(2013 年)的数据显示,"upitiaji wa nyaraka "的数量有所增加。此外,数据还显示,Rastle和Davis(2008年)的mkabala wa mofimu kama umbo na maana uliopendekezwa na Rastle na Davis(2008年)。在斯瓦希里语的语言环境中,数据的重要性不言而喻。Kanuni hizo ni ya kwanza, ya pili, ya nne, ya tano na ya sita.在斯瓦希里语的语言环境中,语言学家们可以在语言环境中寻找到更多的机会来学习斯瓦希里语。此外,我们还将继续努力,以实现我们的目标。
本文章由计算机程序翻译,如有差异,请以英文原文为准。
查看原文
分享 分享
微信好友 朋友圈 QQ好友 复制链接
本刊更多论文
Matumizi ya kanuni za utambuzi wa mofimu za Nida (1949) katika utambuzi wa mofimu za lugha ya Kiswahili
Utambuzi wa mofimu katika lugha tofautitofauti huongozwa na kanuni za kimajumui zilizopendekezwa na Nida (1949). Kanuni hizo zimehakikiwa katika baadhi ya lugha za Afrikasia ambazo ni Kiyoruba, Kigala na Kihausa. Hata hivyo, kuna utofauti kati ya lugha za Afrikasia na lugha za Kibantu. Isitoshe, kanuni hizo haziko bayana katika lugha za Kibantu. Kwa hiyo, makala hii inahakiki matumizi ya kanuni za utambuzi wa mofimu katika kuchambua mofimu za lugha ya Kiswahili. Data ya makala hii imekusanywa kutoka Kamusi ya Kiswahili Sanifu (2013) kwa kutumia mbinu ya upitiaji wa nyaraka. Aidha, uchambuzi wa data umeongozwa na mkabala wa mofimu kama umbo na maana uliopendekezwa na Rastle na Davis (2008). Matokeo ya makala hii yanaonesha kwamba kanuni tano kati ya sita zinafaa katika kuchambua mofimu za lugha ya Kiswahili. Kanuni hizo ni ya kwanza, ya pili, ya nne, ya tano na ya sita. Kanuni ya tatu haitumiki katika kutambua mofimu za lugha ya Kiswahili kwa sababu maumbo yanayoelezwa na kanuni hii hayamo katika lugha ya Kiswahili kutokana na tofauti za kimuundo kati ya lugha moja na nyingine. Aidha, tumependekeza kuwa uundwaji wa kanuni uendane na maumbo ya lugha tofautitofauti kwa sababu ya umajumui wake.
求助全文
通过发布文献求助,成功后即可免费获取论文全文。 去求助
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
期刊最新文献
Dosari za Kisarufi za Wanafunzi Wanaojifunza Kiswahili Sanifu katika Vyuo Vikuu nchini Burundi Misingi ya Matumizi ya Wakaa katika Usimulizi wa Riwaya za Kiswahili: Mifano kutoka Nagona na Mzingile Uolezi1 katika Kujenga Utambulisho wa Wahusika katika Riwaya za Nagona na Mzingile za Euphrase Kezilahabi Itikadi za Kisiasa katika Fasihi ya Watoto ya Kiswahili Naming of Plants in Nyamwezi and Sukuma Societies of Tanzania
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
现在去查看 取消
×
提示
确定
0
微信
客服QQ
Book学术公众号 扫码关注我们
反馈
×
意见反馈
请填写您的意见或建议
请填写您的手机或邮箱
已复制链接
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
×
扫码分享
扫码分享
Book学术官方微信
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术
文献互助 智能选刊 最新文献 互助须知 联系我们:info@booksci.cn
Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。
Copyright © 2023 Book学术 All rights reserved.
ghs 京公网安备 11010802042870号 京ICP备2023020795号-1