Mapokezi ya Nomino za Kiswahili katika Ngeli za Nomino za Gᴉrᴉmi

Utafiti Pub Date : 2023-11-03 DOI:10.1163/26836408-15020085
Rehema Stephano
{"title":"Mapokezi ya Nomino za Kiswahili katika Ngeli za Nomino za Gᴉrᴉmi","authors":"Rehema Stephano","doi":"10.1163/26836408-15020085","DOIUrl":null,"url":null,"abstract":"Ikisiri Lengo la makala hii ni kuonesha jinsi nomino za Kiswahili zinavyokopwa ili kukidhi mawasiliano katika Gᴉrᴉmi. Nomino (majina) ni miongoni mwa maneno yanayokopwa kutokana na umuhimu wake mkubwa katika lugha na mawasiliano kwa ujumla. Umuhimu huo ni kutambulisha watu, vitu, hali na mahali. Gᴉrᴉmi, kutokana na utangamano wake na Kiswahili, kinakopa na kutohoa nomino tofauti kwa lengo la kukidhi mawasiliano kulingana na wakati na mazingira ya kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii yanayoikabili lugha hiyo. Uchambuzi matini na usaili vimeonesha kwamba nomino za Kiswahili zinazokopwa na kupokelewa katika Gᴉrᴉmi ni za ngeli nane ambazo ni MU -/ WA -; MU -/ MI -; JI -, Ø-/ MA -; KI -/ VI -; N-/N-; U-/N-; U -/ MA -; na KU -, ambapo maumbo ya umoja na wingi, pamoja na sauti huchakatwa kulingana na mfumo lugha wa Gᴉrᴉmi. Hata hivyo, maana ya nomino inayokopwa hubaki ileile kama ilivyo katika lugha iliyokopesha. Kwa hiyo, inapendekezwa uchambuzi wowote wa mapokezi ya maneno uende sambamba na mfumo wa lugha inayokopa.","PeriodicalId":85828,"journal":{"name":"Utafiti","volume":"19 12","pages":"0"},"PeriodicalIF":0.0000,"publicationDate":"2023-11-03","publicationTypes":"Journal Article","fieldsOfStudy":null,"isOpenAccess":false,"openAccessPdf":"","citationCount":"0","resultStr":null,"platform":"Semanticscholar","paperid":null,"PeriodicalName":"Utafiti","FirstCategoryId":"1085","ListUrlMain":"https://doi.org/10.1163/26836408-15020085","RegionNum":0,"RegionCategory":null,"ArticlePicture":[],"TitleCN":null,"AbstractTextCN":null,"PMCID":null,"EPubDate":"","PubModel":"","JCR":"","JCRName":"","Score":null,"Total":0}
引用次数: 0

Abstract

Ikisiri Lengo la makala hii ni kuonesha jinsi nomino za Kiswahili zinavyokopwa ili kukidhi mawasiliano katika Gᴉrᴉmi. Nomino (majina) ni miongoni mwa maneno yanayokopwa kutokana na umuhimu wake mkubwa katika lugha na mawasiliano kwa ujumla. Umuhimu huo ni kutambulisha watu, vitu, hali na mahali. Gᴉrᴉmi, kutokana na utangamano wake na Kiswahili, kinakopa na kutohoa nomino tofauti kwa lengo la kukidhi mawasiliano kulingana na wakati na mazingira ya kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii yanayoikabili lugha hiyo. Uchambuzi matini na usaili vimeonesha kwamba nomino za Kiswahili zinazokopwa na kupokelewa katika Gᴉrᴉmi ni za ngeli nane ambazo ni MU -/ WA -; MU -/ MI -; JI -, Ø-/ MA -; KI -/ VI -; N-/N-; U-/N-; U -/ MA -; na KU -, ambapo maumbo ya umoja na wingi, pamoja na sauti huchakatwa kulingana na mfumo lugha wa Gᴉrᴉmi. Hata hivyo, maana ya nomino inayokopwa hubaki ileile kama ilivyo katika lugha iliyokopesha. Kwa hiyo, inapendekezwa uchambuzi wowote wa mapokezi ya maneno uende sambamba na mfumo wa lugha inayokopa.
查看原文
分享 分享
微信好友 朋友圈 QQ好友 复制链接
本刊更多论文
Mapokezi ya Nomino za Kiswahili katika Ngeli za Nomino za Gopardmi
在斯瓦希里语中,"Ikisiri Lengo la makala hii ni kuonesha jinsi nomino za Kiswahili zinavyokopwa ili kukidhi mawasiliano katika Givalmi"。在 "汝 "和 "汝之 "之间的 "汝之 "和 "汝之 "之间的 "汝之 "和 "汝之 "的名称(majina)。我们要做的是,在我们的国家里,我们要做的是,在我们的国家里,我们要做的是,在我们的国家里,我们要做的是。在斯瓦希里语中,Kinakopa na kutohoa nomino tofauti kwa lengo la kukidhi mawasiliano kulingana na wakati na mazingira ya kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii yanayoikabili lugha hiyo。JI -, Ø-/ MA -; KI -/ VI -; N-/N-; U-/N-; U -/ MA -; na KU -, ambapo maumbo ya umoja na wingi, pamoja na sauti huchakatwa kulingana na mfumo lugha wa Gamationmi.在未来的日子里,我们将继续努力,为我们的国家提供更多的支持。在未来,我们还将继续努力,使我们的工作更上一层楼。
本文章由计算机程序翻译,如有差异,请以英文原文为准。
求助全文
约1分钟内获得全文 去求助
来源期刊
自引率
0.00%
发文量
0
期刊最新文献
Promoting Functional Scientific Literacy in Tanzania: A Critique of Current Basic Education Policy Reading Wiredu, written by Barry Hallen Rehearsing Genealogies of Violence Mapokezi ya Nomino za Kiswahili katika Ngeli za Nomino za Gᴉrᴉmi Understanding Environmental Destruction as a Human Rights Violation
×
引用
GB/T 7714-2015
复制
MLA
复制
APA
复制
导出至
BibTeX EndNote RefMan NoteFirst NoteExpress
×
×
提示
您的信息不完整,为了账户安全,请先补充。
现在去补充
×
提示
您因"违规操作"
具体请查看互助需知
我知道了
×
提示
现在去查看 取消
×
提示
确定
0
微信
客服QQ
Book学术公众号 扫码关注我们
反馈
×
意见反馈
请填写您的意见或建议
请填写您的手机或邮箱
已复制链接
已复制链接
快去分享给好友吧!
我知道了
×
扫码分享
扫码分享
Book学术官方微信
Book学术文献互助
Book学术文献互助群
群 号:481959085
Book学术
文献互助 智能选刊 最新文献 互助须知 联系我们:info@booksci.cn
Book学术提供免费学术资源搜索服务,方便国内外学者检索中英文文献。致力于提供最便捷和优质的服务体验。
Copyright © 2023 Book学术 All rights reserved.
ghs 京公网安备 11010802042870号 京ICP备2023020795号-1